MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 26 March 2015

Moja ya nyumba 18 ambazo zimewekwa jiwe la msingi la uzinduzi na Mhe. George Simbachawene Waziri wa Nishati na Madini wakati wa ziara yake Mkoa wa Geita.Nyumba hii ina vyumba vitatu vya kulala ,sitting room, jiko na stoo.