MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 11 March 2015

Gari kutoka Mkoa wa Geita likishusha bidhaa mbalimbali kwa ajili ya waanga wa maafa ya mvua na upepo mkali iliyonyesha hivi karibuni na kusababisha vifo, majeruhi na kuacha familia nyingi zikiwa hazina makazi huko Mwakata Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga.