MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 26 March 2015

Mhe.George Simbachawene Waziri wa Nishati na Madini akiwa katika picha ya pamoja na wananchi wa buhulahala wilaya ya Geita baada ya kuweka jiwe la msingi la uzinduzi wa nyumba 18 za wananchi hao ambazo ni fidia kwao kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita baada ya kuhamishwa kutoka katika maeneo yao kupisha shughuli za uchimbaji madini.Viongozi wengine waliohudhuria katika tukio hilo ni Mhe. Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Manzie Mangochie Mkuu wa Wilaya ya Geita na Meneja wa mgodi wa Geita ndugu Michael Van Anen.